Imewekwa kuanzia tarehe: October 29th, 2025
Zoezi la upigaji kura katika Kituo cha Minazini, Kata ya Rwinga Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma linaendelea kwa utulivu mkubwa huku wananchi wakijitokeza mapema kutumia haki yao ya kikatiba.
...
Imewekwa kuanzia tarehe: October 28th, 2025
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro, amewataka Watanzania kutumia mitandao ya kijamii kwa maendeleo binafsi na ya taifa badala ya kueneza taarifa za uongo na chuki zinazoathiri heshima ya ...
Imewekwa kuanzia tarehe: October 27th, 2025
Serikali imekabidhi jumla ya mashine 35 za kisasa za umwagiliaji kwa wakulima wa kijiji cha Malungu, Kata ya Tingi, Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kukuza kilimo cha kisa...