Imewekwa kuanzia tarehe: November 30th, 2024
Waziri wa Afya, Mheshimiwa Jenista Mhagama, amezindua usambazaji wa ripoti ya utafiti wa viashiria na matokeo ya UKIMWI kwa mwaka 2022/23 mkoani Ruvuma.
Uzinduzi huo umefanyika katika Kongamano la ...
Imewekwa kuanzia tarehe: November 29th, 2024
Katibu Mkuu wa Chama cha Makini, Ameir Hassan Ameir, amepongeza uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27 mwaka huu, akisema ulikuwa huru na wa haki.
Amesema hayo wakati akizungumza na w...
Imewekwa kuanzia tarehe: November 28th, 2024
Mwenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma, Ndg. Goas Mathei Mbawala amepongeza uwazi katika mchakato ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa Wilaya ya Namt...