Imewekwa kuanzia tarehe: May 4th, 2025
MKUU wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, ameitaka Halmashauri ya Manispaa ya Songea kuangalia upya masharti yanayokwamisha wananchi kuboresha majengo yao, ili kutoa fursa ya maendeleo ya mji ...
Imewekwa kuanzia tarehe: May 4th, 2025
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma na Mjumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, amesema walimu makada ni nguzo ya maarifa, maadili na uzalendo ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla.
...
Imewekwa kuanzia tarehe: May 3rd, 2025
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, amewataka wakurugenzi wa Halmashauri zote za mkoa wa Ruvuma kuhakikisha wamiliki wa mashine za kuongeza virutubishi katika chakula wanapata elimu za u...