Imewekwa kuanzia tarehe: October 17th, 2025
Kwenye uso wa maji ya buluu ya Ziwa Nyasa, wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, kipo Kisiwa cha Lundo , kisiwa kidogo chenye historia nzito, uzuri wa kipekee na matumaini mapya ya utalii wa Tanzania.
...
Imewekwa kuanzia tarehe: October 17th, 2025
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) Dkt. Thomas Bwana, akiwa na Maafisa kutoka TARI Makao Makuu, amefanya ziara Wilayani Tunduru. Ziara hiyo ilianzia katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ...
Imewekwa kuanzia tarehe: October 16th, 2025
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Crispin Chalamila, amepongeza ujenzi wa Jengo la TAKUKURU Wilaya ya Nyasa, Ruvuma, lililokamilika kwa ubora wa hali ya juu na ndani ya bajeti. Mradi huo umetumia shilingi ...