Imewekwa kuanzia tarehe: February 24th, 2025
Katika viwanja vya Makumbusho Mkoani Ruvuma, historia iliandikwa tena wakati Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mheshimiwa Peres Magiri, akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Mheshimiwa Kanali Ahmed Abbas Ahmed...
Imewekwa kuanzia tarehe: February 24th, 2025
Tamasha la Maonesho ya Vita ya Majimaji na Utalii wa Uhifadhi wa Utamaduni limezinduliwa rasmi mkoani Ruvuma, likiwa na lengo la kuenzi historia ya vita hivyo na kukuza utalii wa utamaduni.
...
Imewekwa kuanzia tarehe: February 24th, 2025
Na Albano Midelo
Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, sekta ya elimu mkoani Ruvuma imepata maendeleo makubwa ku...