Imewekwa kuanzia tarehe: April 21st, 2025
Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama, amewasihi waumini wa Kanisa la Kigango cha Liula, Parokia ya Matimira, Peramiho mkoani Ruvuma, kuchangamkia fursa ya upimaji afya bure inayotolewa na madaktari bi...
Imewekwa kuanzia tarehe: April 20th, 2025
Wakati mwingine maendeleo hayaji kwa kelele, bali huingia kimya kimya na kuacha alama kubwa.
Hivi ndivyo ilivyotokea kwa barabara ya lami nzito yenye viwango vya kimataifa kutoka Mbinga hadi Mbamba...
Imewekwa kuanzia tarehe: April 20th, 2025
barabara ya kisasa ya lami kutoka Kitai, kupitia Ruanda hadi Bandari ya Ndumbi imeanza kuandikwa katika sura mpya ya maendeleo ya kusini mwa Tanzania.
Huu si mradi wa kawaida wa ujenzi wa barabara;...